Pompili Maria Pirrotti

Mt. Pompili Maria alivyochorwa.

Pompili Maria Pirrotti, S.P. (Montecalvo Irpino, Avellino, 29 Septemba 1710 - Campi Salentina, Lecce, 15 Julai 1766) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki maarufu kwa ugumu wa maisha na kama mwalimu na mhubiri huko Italia Kusini[1].

Alitangazwa na Papa Leo XIII kuwa mwenye heri tarehe 26 Januari 1880, halafu Papa Pius XI alimtangaza mtakatifu tarehe 19 Machi 1934.

Sikukuu yake inaadhimishwa katika tarehe ya kifo chake[2].

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/62750
  2. Martyrologium Romanum

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy